Wednesday, May 26, 2010

Bado siku 15!


Kuanzia Juni 11 hadi July 11 mwaka huu macho ya washabiki wa mchezo unaoamika kama ndio una wapenzi wengi duniani,soka yatakuwa huko nchini Afrika ya Kusini ambako mtanange huo utakuwa ukiendelea.
Baada ya kwikwi ya muda mrefu mdau nimerejea kwa kishindo,kwahiyo wadau kaeni mkau wa kula kwa habari mbalimbali motomoto.

No comments:

Post a Comment