Saturday, January 22, 2011

African Stars "Twanga Pepeta" Usiku wa Mwafrika Billicans

Safu nzima ya bendi ya twanga pepeta wakilishambulia jukwaa kwa staili yao mpya ya "kusugua kisigino"ktk usiku wa mwafrika kila siku ya jtano ndani ya klabu Billicanas almaarufu kama "Bills'

Manchester United 5 Birmingham 0

Dimitar Berbatov (pichani) akifunga bao la kwanza ktk mechi kati ya Man.Utd na B'ham ktk mchezo wa ligi kuu ya uingereza.Berbatov alifunga mabao matatu ktk mchezo huo,huku mkongwe Ryan Giggs akifunga moja na Nani alimalizia kupigilia msumari wa mwisho ktk jeneza la B'ham City.