Saturday, January 22, 2011

Manchester United 5 Birmingham 0

Dimitar Berbatov (pichani) akifunga bao la kwanza ktk mechi kati ya Man.Utd na B'ham ktk mchezo wa ligi kuu ya uingereza.Berbatov alifunga mabao matatu ktk mchezo huo,huku mkongwe Ryan Giggs akifunga moja na Nani alimalizia kupigilia msumari wa mwisho ktk jeneza la B'ham City.

No comments:

Post a Comment