Saturday, January 22, 2011
African Stars "Twanga Pepeta" Usiku wa Mwafrika Billicans
Manchester United 5 Birmingham 0
Sunday, December 5, 2010
Wednesday, May 26, 2010
Bado siku 15!

Kuanzia Juni 11 hadi July 11 mwaka huu macho ya washabiki wa mchezo unaoamika kama ndio una wapenzi wengi duniani,soka yatakuwa huko nchini Afrika ya Kusini ambako mtanange huo utakuwa ukiendelea.
Baada ya kwikwi ya muda mrefu mdau nimerejea kwa kishindo,kwahiyo wadau kaeni mkau wa kula kwa habari mbalimbali motomoto.
Thursday, February 4, 2010
NDONDI!
Floyd "Money" Mayweather Jr sasa atazipiga na mmarekani mwenzake Shane Mosley mnamo Mei mosi mwaka huu 2010 katika ukumbi wa MGM Grand huko Las Vegas California.
Mayweather na Mosley ambao waliishaanza kupigana mkwara tangu mwaka jana mara baada ya mpambano kati ya Mayweather na Juan Manuel Marquez.
Kambi za mabondia hawa wote wawili zimekubaliana na sharti ya kambi ya Mayweather la kupima damu kila wiki wakati wa maandalizi wa mpambano huo sharti ambalo lilipelekea kuvunjika kwa mpambano kati ya Mayweather na Manny Pacquiao mapema mwaka huu,kambi ya mfilipino Pacquiao ilikataa kata kata kukubaliana na sharti hilo ambalo ni staili ya michezo ya olympic.
Sasa sijui nani kati ya mabondia hawa nguli anamuhofia mwenzake?
Mayweather na Mosley ambao waliishaanza kupigana mkwara tangu mwaka jana mara baada ya mpambano kati ya Mayweather na Juan Manuel Marquez.
Kambi za mabondia hawa wote wawili zimekubaliana na sharti ya kambi ya Mayweather la kupima damu kila wiki wakati wa maandalizi wa mpambano huo sharti ambalo lilipelekea kuvunjika kwa mpambano kati ya Mayweather na Manny Pacquiao mapema mwaka huu,kambi ya mfilipino Pacquiao ilikataa kata kata kukubaliana na sharti hilo ambalo ni staili ya michezo ya olympic.
Sasa sijui nani kati ya mabondia hawa nguli anamuhofia mwenzake?
Monday, January 25, 2010
Monday, January 18, 2010
Subscribe to:
Posts (Atom)