Mimi kama mdau mwenzenu napenda kuwatakia kheri na fanaka tele za mwaka huu mpya 2010.Ingawa hali ya uchumi duniani bado haijatengemaa lakini tusife moyo tuendelee kupambana na hali halisi ya maisha popote pale tulipo kuanzia nyumbani bongo TZ hadi ughaibuni ama ng'ambo!
Libeneke la blog kama kawa 2010 subirini mambo kibao mapya...............
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment