
Siku ya mkesha wa mwaka mpya wazee wa ngwasuma walikuwa kijiji cha makumbusho,kwa mujibu wa wadau wa bongo naskia palikuwa hapatoshi jamaa walipiga sebene la kufa mtu!!
Nawashauri wadau wa ng'ambo siku mkitua bongo vekesheni fupi msikose kwenda kuwacheki hawa jamaa.
sio mchezo
ReplyDelete