
Wachezaji wawili waliojeruhiwa kwa risasi ni golikipa ni Kodjovi Obilale' wa GSI Pontivy na mlinzi Serge Akakpo,22 wa Vaslui FC ya Romania ambaye ameumia vibaya na amepoteza damu nyingi lkn anaendelea vizuri baada ya matibabu,pia wengine waliojeruhiwa ni kocha msaidizi,daktari wa timu na mwandishi wa habari aliyeambatana na timu.
Waziri wa Angola anayehusika na masuala ya Cabinda Antonio Bento Bembe ameliita shambulio hilo kuwa ni la kigaidi na kukanusha kuwa sio kikundi cha waasi cha FLEC ndio kimehusika kwa sababu kundi hilo halipo tena,bali amewatuhumu watu binafsi wanaotaka kuwasababishia matatizo.
Mshambuliaji wa Emmanuel Adebayor wa Manchester City hakuumia ktk shambulio hilo,pia Moustapha Salifou wa Aston Villa zote za Uingereza naye kamuumia kwa mujibu ya tovuti za vilabu vyao.
Togo imetishia kujitoa ktk mashindano hayo makubwa barani Afrika yanayotarajiwa kuanza jumapili hii trh 10/01/2010.
Haya ni matukio ya aibu kwa bara zima la Afrika........
No comments:
Post a Comment