Friday, December 4, 2009

2010 FIFA WORLD CUP GROUPS,SOUTH AFRICA.

Group A: South Africa,Mexico,Uruguay,France.

B: Argentina,South Korea,Nigeria,Greece.

C: England,U.S.A,Algeria,Slovenia.

D: Germany,Australia,Serbia,Ghana.

E: Holland,Denmark,Japan,Cameroon.

F: Italy,Paraguay,New Zealand,Slovakia.

G: Brazil,North Korea,Cote D'ivore,Portugal.

H: Spain,Switzerland,Honduras,Chile.

Wadau wa soka haya makundi ni vipi!?timu za Afrika zitaweza kusonga mbele kweli kwa mtaji huu?hivi tuna gundu ama ni fitna za Fifa hebu angalieni kundi "G" hawa jamaa wanatutakia mema kweli!??kuna haja ya kujiimarisha zaidi ktk viwango vya ubora wa soka duniani ili kuepuka kukutana na timu kubwa ktk hatua ya awali ya makundi,kwa maana hapo ni timu mbili tu ndio zinazotakiwa kusonga mbele ktk hatua ya mtoano,lkn poa tutasonga tu mungu yupo.......tutakomaa nao

No comments:

Post a Comment