Wednesday, December 9, 2009

Hongera mdau wa Madison,Wisconsin!


Mdau Zablon Mgonja(katikati mwenye shati jeupe na tai)akizungukwa na wanafunzi wake wa lugha ya Kiswahili.Darasa hili lilikuwa la kuigwa kwa walimu wanaofundisha lugha za kigeni kikiwemo kiswahili.Nilivutiwa na kauli isemayo "Kama unafundisha kiswahili basi unafundisha kiswahili bila kutumia kiingereza,na kama unafundisha kiingereza kwa waswahili basi unafundisha kwa kiingereza bila kutumia kiswahili".
Nakumbuka kule nyumbani "bongo" baadhi wa walimu wa sekondari na hata chuoni walikuwa wakichanganya lugha hizi mbili wakifundisha.

No comments:

Post a Comment