Wednesday, December 9, 2009

Nyuso za furaha.......kiswahili oyee


Mdau Zablon(mwenye suti) na mshauri wake wakiwa na nyuso za furaha baada ya kuwa na uhakika wa kulamba "Nondozzz"yake Uzamili ktk lugha huko chuo kikuu cha Madison,Wisconsin.
Mdau anajiaanda kurejea bongo mnamo mapema mwakani alinitonya kwamba yuko mbioni kuanzisha NGO ya kujimba vijima vya maji vijijini Tanzania,jamaa anastahili pongezi kwa sababu ni vijana wachache sana wenye moyo wa uzalendo kama yeye wa kumaliza nondoz huku "ng'ambo" na kurejea kusaidia nchi yake ya ahadi Tanzania,pongezi kwa mdau ni mfano wa kuigwa.

No comments:

Post a Comment